Recent News and Updates

Mkutano wa Kitaifa wa Mabadiliko ya Kidigitali nchini Msumbiji

Tarehe 11 na 12 Februari, 2026, Mhe. Hamad K. Hamad, Balozi wa Tanzania nchini alihudhuria Mkutano wa Kitaifa wa Mabadiliko ya Kidigitali nchini Msumbiji. Mkutano huo uliandaliwa na Wizara ya Mawasiliano na Mabadiliko ya… Read More

Balozi Hamad ashiriki katika maadhimisho ya siku ya mashujaa nchini Msumbiji

Mhe. CP. Hamad K. Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, ameungana na Mabalozi wengine na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Msumbiji katika maadhimisho ya siku ya Mashujaa nchini humo inayofanyika… Read More

Mhe. CP. Hamad K. Hamad, akutana na Mhe. Joaquim A. Chissano

Tarehe 15 Septemba 2025, Mhe. Hamad K. Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji alikutana na kufanya mazungumzo na Mhe. Joaquim A. Chissano, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Msumbiji.Lengo la Mazungumzo hayo ni… Read More

Makamu wa Rais ashiriki Mkutano wa 45 wa SADC nchini Madagascar

Tarehe 17 Agosti 2025 Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameshiriki Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi na Serikali ambao ni Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC)… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Mozambique

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Mozambique