Recent News and Updates

Naibu Spika Mhe. Daniel Baran Sillo aongoza Ujumbe wa Tanzania katika Mikutano ya OACPS na AEPA unaofanyika nchini Ufalme wa Eswatini

Mhe. Daniel Baran Sillo (Mb.), Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, aongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki Mkutano wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibian na Pasifiki (OACPS) kwa ngazi ya Mabunge ya Kanda ya… Read More

Balozi wa Tanzania Afanya Mazungumzo na Balozi wa Uswizi Nchini Msumbiji

Tarehe 31 Machi 2026, Mhe. CP. Hamad K. Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji, alikutana na Mhe. Nicolas Randin, Balozi wa Uswizi, katika Ofisi ya Ubalozi jijini Maputo.Kikao hiki kililenga kufahamiana… Read More

Serikali ya Tanzania imekabidhi tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Msumbiji

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imekabidhi msaada wa tani 500 za mahindi kwa Serikali ya Jamhuri ya Msumbiji kufuatia mafuriko yaliyoikumba nchi hiyo kutokana na mvua kubwa zilizonyesha.Msaada huo umekabidhiwa Machi… Read More

Balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe CP Hamad Khamis Hamad atembelea Jimbo la Sofala

Tarehe 11 Machi, 2026 Mjini Beira Jimbo la Sofala, Msumbiji, kilifanyika kikao baina ya Gavana wa Jimbo la Sofala, Mhe Lourenço Bulha na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe. CP. Hamad Khamis Hamad, kwa… Read More

VISA

Details for visitors on how to apply for a visa to the United Republic of Tanzania.

Tanzania Citizen Services

Emergency services, passport guidance, and benefits details for Tanzania citizens in Mozambique

Business Opportunities

Information on doing business, trade and investments in the Tanzania and in Mozambique